Mjina Mrefu
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 3,045
- 3,389
LIpia tangazoWakuu,
Kuna chimbo nimelipata pana gape ya vioo vya simu kuanzia viswaswadu hadi Smartphone.
Nimejaribu kusaka maduka yanayouza jumla, naona bei zimechangamka sana. Mfano kioo mafundi simu wanavyouza elf 30, madukani nao wananiuzia bei iyo iyo.
Tupeane connection nitakapopata kwa bei nzuri. Au kama upo huku na unafanya hiyo business nichek DM tufanye biashara
Unauza bei gani mkuu?Nauza kabati la kuwekea simu View attachment 3172996
350Unauza bei gani mkuu?
Unapatikana wapi mkuu, karibu tufanye kazi kama upo serious. DM iko wazi piaWakuu,
Kuna chimbo nimelipata pana gape ya vioo vya simu kuanzia viswaswadu hadi Smartphone.
Nimejaribu kusaka maduka yanayouza jumla, naona bei zimechangamka sana. Mfano kioo mafundi simu wanavyouza elf 30, madukani nao wananiuzia bei iyo iyo.
Tupeane connection nitakapopata kwa bei nzuri. Au kama upo huku na unafanya hiyo business nichek DM tufanye biashara
wapiNauza kabati la kuwekea simu View attachment 3172996
Kariakoo mtaa wa uhuru na msimbazi jengo la uhuru plazaLiko
wapi
Bei gani chiefNauza kabati la kuwekea simu View attachment 3172996
350Bei gani chief
Ulipata mkuu.kama bado nikusaidieWakuu,
Kuna chimbo nimelipata pana gape ya vioo vya simu kuanzia viswaswadu hadi Smartphone.
Nimejaribu kusaka maduka yanayouza jumla, naona bei zimechangamka sana. Mfano kioo mafundi simu wanavyouza elf 30, madukani nao wananiuzia bei iyo iyo.
Tupeane connection nitakapopata kwa bei nzuri. Au kama upo huku na unafanya hiyo business nichek DM tufanye biashara
Ulipata mkuu.kama bado nikusaidie
ukipata mkuu nijuze na mimiMm nisaidie wapi wataniuziaa vioo viwili vya note 10+
Bado mkuu nisaidieUlipata mkuu.kama bado nikusaidie
Mimi na tafuta kioo cha sumsung s20+Bado mkuu nisaidie
Ngoja wajeMimi na tafuta kioo cha sumsung s20+
Na s 10+
Mwenye nacho aje na bei