Naomba connection ya sehemu linapolimwa like tumbaku ukiachana na Ngaramtoni, Arusha

Naomba connection ya sehemu linapolimwa like tumbaku ukiachana na Ngaramtoni, Arusha

Fursakibao

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2017
Posts
6,813
Reaction score
11,540
Habari za asubuhi wadao. Naomba connection ya sehemu linapolimwa tumbaku na ugoro ukiachana na Ngaramtoni ya chini kule Arusha.

Nahitaji kama heka tano za kukodisha kwa ajili ya kulima msimu huu.

Nawakilisha.
 
Back
Top Bottom