bintishomvi
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 1,164
- 833
Habari,
Kama nilivyotanguliza kichwa cha habari hapo juu nilikuwa na mpango wa kwenda uingereza kukusanya vitu used vya majumbani na viwandani mfano mashine ndogo ndogo na kubwa kwa makubaliana na mwenye nacho na pia vifaa vya majumbani na madukani kwa wale wanaosafisha stoo na wengineo.
Sasa nataka kujua namna ya kuifanya hii biashara siijui nianzie wapi kwa wale wazoefu miji hiyo au waliowai ifanya napokea mawazo na ushauri.
Samahani kwa uandishi usio mzuri zaidi.
Kama nilivyotanguliza kichwa cha habari hapo juu nilikuwa na mpango wa kwenda uingereza kukusanya vitu used vya majumbani na viwandani mfano mashine ndogo ndogo na kubwa kwa makubaliana na mwenye nacho na pia vifaa vya majumbani na madukani kwa wale wanaosafisha stoo na wengineo.
Sasa nataka kujua namna ya kuifanya hii biashara siijui nianzie wapi kwa wale wazoefu miji hiyo au waliowai ifanya napokea mawazo na ushauri.
Samahani kwa uandishi usio mzuri zaidi.