bintishomvi
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 1,164
- 833
Ata wachina wanafanya nchi kuwa Dampo kwa kuleta vitu visivyo na ubora kuharibika haraka na kuwa Dampo ukuwaza hili!Kwa hiyo unakubali kiroho safi kuifanya nchi yako Tanzania Dampo?
Wabongo ndio walivyo kukatishana tamaa tuu kwa sababu ya roho zetu za korosho tuna roho ya korosho shetani mwenyewe anasubiri mbali magari mengi ni used kutoka Japan...Ata wachina wanafanya nchi kuwa Dampo kwa kuleta vitu visivyo na ubora kuharibika haraka na kuwa Dampo ukuwaza hili!
Ipo connection ya Korea Kusini kama upo tayai PM.
Uko wafrika wanapokelewa kweliIpo connection ya Korea Kusini kama upo tayai PM.
Bidhaa ganiHoya ulishaanza biashara?
Kuna bidhaa naitaka.
#YNWA
ungeweka picha ya sampo yake ungesaidika kirahisi sanaFriji ambalo mbele Lina kikoo @ transparent
#YNWA
ungeweka picha ya sampo yake ungesaidika kirahisi sana