Ninafanya application ya diploma ila nikimaliza advance sasa sehemu ya ku add qualification hamna qualification ya advance
Jambo la pili sioni sehemu ya ku submit maombi na sijui kama nilipofikia nimekamilisha na namba za hao jamaa wa nacte hazipatikani zooote
Jambo la pili sioni sehemu ya ku submit maombi na sijui kama nilipofikia nimekamilisha na namba za hao jamaa wa nacte hazipatikani zooote