C Chiclette Senior Member Joined Feb 17, 2024 Posts 133 Reaction score 222 Jun 4, 2024 #1 Ninafanya application ya diploma ila nikimaliza advance sasa sehemu ya ku add qualification hamna qualification ya advance Jambo la pili sioni sehemu ya ku submit maombi na sijui kama nilipofikia nimekamilisha na namba za hao jamaa wa nacte hazipatikani zooote
Ninafanya application ya diploma ila nikimaliza advance sasa sehemu ya ku add qualification hamna qualification ya advance Jambo la pili sioni sehemu ya ku submit maombi na sijui kama nilipofikia nimekamilisha na namba za hao jamaa wa nacte hazipatikani zooote
Shadow7 JF-Expert Member Joined Sep 28, 2020 Posts 24,606 Reaction score 39,289 Jun 4, 2024 #2 Ninavyojua diploma ni cheti cha kidato cha nne ndio kinaambatanishwa tu. Ngoja wataalam zaidi waje