Naomba elimu juu ya Ulipaji wa Kodi zote stahiki za Kampuni baada tu ya kukamilisha Usajili na kuanza biashara

Naomba elimu juu ya Ulipaji wa Kodi zote stahiki za Kampuni baada tu ya kukamilisha Usajili na kuanza biashara

winnerian

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
379
Reaction score
603
Naelewa kuna kodi nyingi zinazostahili kulipwa TRA, ila kuna taratibu nyingi pia katika kuzilipa hizi kodi pamoja na kuandaa taarifa nyingi kwa nyakati tofauti katika mwaka.

Naomba kwa wale wenye uelewa na hii elimu watupe katika mtiririko mzuri.
 
Naelewa kuna kodi nyingi zinazostahili kulipwa TRA, ila kuna taratibu nyingi pia katika kuzilipa hizi kodi pamoja na kuandaa taarifa nyingi kwa nyakati tofauti katika mwaka.

Naomba kwa wale wenye uelewa na hii elimu watupe katika mtiririko mzuri.
Unataka kuelekezwa kodi zinazotakiwa ulipe baada tu ya kusajili kampuni brela au kodi baada ya kupata tin no tra then after mwaka ndo ujue jinsi ya kulipa kodi? Tuanzie hapo ili tupate kuelewa lengo lako ni lipi ili nikusaidie
 
Kwa utaratibu UNAANZIA BRELA kule unasajili kampuni yako na unapata namba ya utambulisho na kwa sasa namba hiyo huwa ndio TIN namba yako ambapo ukifika TRA ss inarekebishwa vitu kadhaa na kupewa TIN yako. Utaratibu wa makadilio na ufunguaji wa faili la kampuni hufata... Kisheria kampuni mpya huanza na kulipa STAMP DUTY ON RENTAL, WITHHOLDING TAX ON RENTAL.... NA COOPERATE TAX hii ni makadilio ambayo wewe mwenye kampuni unajikadilia kulingana na kampuni yako. Baada ya hapo unapatiwa tax clearnce ya kampuni yako. Kodi zingine zitafuta mwaka ujao kwa kuangalia faida ya kampuni ambapo hukuatwa 30% ya PROFIT..
KWA UFUPI TU..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naelewa kuna kodi nyingi zinazostahili kulipwa TRA, ila kuna taratibu nyingi pia katika kuzilipa hizi kodi pamoja na kuandaa taarifa nyingi kwa nyakati tofauti katika mwaka.

Naomba kwa wale wenye uelewa na hii elimu watupe katika mtiririko mzuri.
Hapo kuna
1. income estimates for corporate 30% inayolipwa Mara nne kila baada ya miez mitatu
2. Kuna withholtax mfano rent 10, security 5% kutokana na kila malipo ya rent au huduma kama ulinzi
3. Kuna Payee(mwajiriwa) na (SDL 4.5%,kuna wcf 1% ya gross salary mwajiri) monthly
4.kuna Nssf unamkata 10% unaongeza 10% mwajiri
5. Kuna city service levy nadhan les s than 1% manispaa inalipwa kila mwisho wa miez mitatu 3,6,9,12.
6. Kuna Vat hii sidhan kama biashara yako imefikia hatua hii

For more info Dm


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unataka kuelekezwa kodi zinazotakiwa ulipe baada tu ya kusajili kampuni brela au kodi baada ya kupata tin no tra then after mwaka ndo ujue jinsi ya kulipa kodi? Tuanzie hapo ili tupate kuelewa lengo lako ni lipi ili nikusaidie
Mkuu nataka nijue kuanzia tu pale ninapopata TIN number tukichukulia mwaka wa kwanza kama mfano. Asante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa utaratibu UNAANZIA BRELA kule unasajili kampuni yako na unapata namba ya utambulisho na kwa sasa namba hiyo huwa ndio TIN namba yako ambapo ukifika TRA ss inarekebishwa vitu kadhaa na kupewa TIN yako. Utaratibu wa makadilio na ufunguaji wa faili la kampuni hufata... Kisheria kampuni mpya huanza na kulipa STAMP DUTY ON RENTAL, WITHHOLDING TAX ON RENTAL.... NA COOPERATE TAX hii ni makadilio ambayo wewe mwenye kampuni unajikadilia kulingana na kampuni yako. Baada ya hapo unapatiwa tax clearnce ya kampuni yako. Kodi zingine zitafuta mwaka ujao kwa kuangalia faida ya kampuni ambapo hukuatwa 30% ya PROFIT..
KWA UFUPI TU..

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa huu utaratibu ya kuwa cooporate number yako ndio TIN umeanza lini mkuu?
 
Ili ukadiriwe kodi ukiwa umeshakamilisha usajili wa kampuni, kuna mambo kadhaa yataangaliwa kama vile mtaji wa biashara,aina ya biashara, mahali ilipo biashara.Ila coorporate tax huwa ni 30% ya profit kwa mwaka.Kwa hiyo ukitaka watu wakupe actual figure(pesa kamili ya kulipa) inakuwa inakaribia kutowezekana.
Fungua kampuni ndugu yangu wala usihofu as long as umeona biashara unayotaka kuifanya ipo na labda una wateja wa kuanzia.Mambo mengine utafanyiwa na accountants/auditors namna bora ya kupunguzq mzigo wa kodi kwa kufanya proper tax arrangements n.k
 
Hapo kuna
1. income estimates for corporate 30% inayolipwa Mara nne kila baada ya miez mitatu
2. Kuna withholtax mfano rent 10, security 5% kutokana na kila malipo ya rent au huduma kama ulinzi
3. Kuna Payee(mwajiriwa) na (SDL 4.5%,kuna wcf 1% ya gross salary mwajiri) monthly
4.kuna Nssf unamkata 10% unaongeza 10% mwajiri
5. Kuna city service levy nadhan les s than 1% manispaa inalipwa kila mwisho wa miez mitatu 3,6,9,12.
6. Kuna Vat hii sidhan kama biashara yako imefikia hatua hii

For more info Dm


Sent using Jamii Forums mobile app

malipo ni mengi yapo ya nemc kama kampuni yako itahusika na mazingira kwa vyovyote vile, cosota kama ofisin utakuwa na tv au redio, kodi ya huduma kwa halmashauri uliyopo, kodi ya osha, ada ya uoimaji afya kwa watumishi wako kodi ni nyingi mno kwa makapuni...

kwa kweli nchi yetu inapaswa kuyatazama haya...
 
Back
Top Bottom