Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,391
- 3,849
Hivi nikinunua umeme natozwa VAT 18% je, Tanesco naye anawajibika kulipa TRA 18% ya umeme wote alio tuuzia sisi wananchi, kama ndio kwanini VAT inalipwa mara mbili kwa serikali kati ya watu 2 wanao fanyiana biashara.
Je, hii sio double taxation?
Au mimi nikilipa VAT kwenye umeme na ndio hiyo hiyo Tanesco wanawasilisha TRA.
Je, hii sio double taxation?
Au mimi nikilipa VAT kwenye umeme na ndio hiyo hiyo Tanesco wanawasilisha TRA.