Naomba faida kumi za jamii forum,mimi ni mgeni humu

kasome vizuri jinsi ya kuitumia jf na chengine wewe kama wewe kwanini umeamua kujiunga unapaswa ujue hayo..

wellcome dude.
 
Elimu bila kikomo. Karibu JF.
 
U mgeni kutoka wapi?Hope s kutoka ajira mpya za Lumumba ...
 
Kamuulize Nchimbi, anajua faida zake!
 
This is online university, everything you need to know, ingia humu.
 
Karibu sana JF | Where We Dare to Talk Openly
 
faida: 1:kuelimisha 2:kupata habari kutoka kila kona ya nchi yetu na dunia kwa ujumla
3:kujua kujenga hoja
4:kupambanua mambo
5:kujua tabia za watu
6:kufichua maovu ndani ya jamii.
7:kuongea ukweli bila kuficha
8:kukutana na wataalamu wa kila fani.
9:kutathmini muenendo na hatima ya nchi yetu
10:kuburudisha na kufurahisha hasa katika jukwaa la jokes,gossips nk
MWISHO NAKUKARIBISHA SANA JAMII FORUM JISIKIE KAMA UPO NYUMBANI.
 
Faida 10 za kula chakula ni zipi ukizijua ndizo faida za JF karibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…