Naomba faida ya kitunguu swaumu kibichi na asali mbichi

Ukitafuna kitunguu saum kibichi hata upige mswaki vipi Domo lazima linuke, hiyo nayo ni faida mojawapo.
 

Swali lake la mwisho hujamjibu mkuu,ameuliza je wagonjwa wa vidonda vya tumbo wanaweza kutumia hii dawa??? tatizo hauwasikilizi wagonjwa wako kwa umakini unawahi kujibu!!!
 
Mkuu MziziMkavu samahani kama nitaingiza mada tofauti mimi nina tatizo la Chunusi usoni zinanisumbua sana naomba msaada wako.
 
Swali lake la mwisho hujamjibu mkuu,ameuliza je wagonjwa wa vidonda vya tumbo wanaweza kutumia hii dawa??? tatizo hauwasikilizi wagonjwa wako kwa umakini unawahi kujibu!!!
Wagonjwa waVidonda vya Tumbo hawawezi kutumia hiyo Dawa mimi ninayo ya kutibu vidonda vya Tumbo ukihitaji nitafute
kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili Herbalist mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Herbalist MziziMkavu


Mkuu MziziMkavu samahan kama nitaingiza mada tofauti mimi nina tatizo la Chunusi usoni zinanisumbua sana naomba msaada wako.
Dawa ya Chunusi Bonyeza hapa.JINSI YA KUONDOA MADOA YA CHUNUSI
 
Ni dawa gani ambayo itanxaidia kumalza gono maana mme2mia kila k2 lkn wp imerudi tna dawa gn ambyo nki2mia inmalza kbx n co kurudi tna..
 
TAHADHARI:Matumizi ya kitunguu saumu kama una matatizo ya pressure uwe muangalifu au upate ushauri wa daktari wako kabla ya kutumia,vina react na baadhi ya dawa za pressure na kusababisha kupanda kwa haraka sana kitu kinachoweza kusababisha stroke na hata kifo kwa mtumiaji.
 
samahani kwa kuinterrupt mada mkuu mzizi mimi nilikuwa nahitaji nipunguze uzito wa mwili ijapokuwa nafanya mazoezi daily ninaweza tumia nini kikanisaidia spread kukata uzito
 
samahani kwa kuinterrupt mada mkuu mzizi mimi nilikuwa nahitaji nipunguze uzito wa mwili ijapokuwa nafanya mazoezi daily ninaweza tumia nini kikanisaidia spread kukata uzito
Kamulia limao ndani ya kikombe cha maji ya moto kisha tia kijiko 1 cha Asali safi ya nyuki koroga vizuri unywe asubuhi kabla ya kula kitu na wakati wa mchana na wakati wa usiku kila siku fanya hivyo utapunguwa. Ukitaka dawa ya asili ya kupunguza uzito wa mwili ninayo nitafute kwa wakati wako.
DAWA YA KUPUNGUZA UNENE KILO TUMBO NA MAFUTA KWA JINA INAITWA NATURAL FITOFORM PLUS+
Ukihitaji-
kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili Herbalist mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Herbalist MziziMkavu

 
Ukitafuna kitunguu saum kibichi hata upige mswaki vipi Domo lazima linuke,hiyo nayo ni faida mojawapo.
Ukimaliza kutafuna kitunguu saumu kibichi ukitaka harufu ipate kukatika kula tango au kula hiliki au kula karafuu harufu itakatika na pia waweza kunywa maji mengi harufu pia inaweza kukatika.
 
Hivi ukosefu wa nguvu za kiume au upungufu hutibiwa na nn hadi kupona ?? Nisaidieni jamani ...wamasai wanamaliza pesa yangu bila kupona!!!
CC: MziziMkavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…