Mkuu we sema ukweli tu ulikuwa unapiga chabo,ila hata hivyo bado hawajakuona...Mimi kichwa changu kibovu sana, yaani niliposoma mafuta ya parachute nikagoma kufungua uzi huu nikidhani kuwa mwaongelea vilainishi, sasa bahati mbaya wakati na bofya uzi mwingine nikajikuta niko huku, kumbe mwaongelea mafuta ya nazi. Basi sawa.
vp mkuu ni kweli yanasaidia kutoa michirizi mwilini?? msaada tafadhariMimi napaka mwili mzima kasoro kwenye nywele tu nice and lovely and yapo mororo tu Mwanzo mwisho Kopo la Tatu namalizia
Una matatizo yako tu sio mafutanilitumia niliwashwa balaa natengeneza mwenyewe siku hizi bora hata mnara au yale ya dina marious
Mamy wewe umetumia yapi Kati ya haya
Yana tofauti gani? Mi natumia ya kushotoYa kulia ndio natumia
Kweli ni mazuri sana ngozi inang'aaMazuri.inategemea ma ngozi ya mtu,mie nikipaka nang'ara jua halioni ndani.
Mazuri
Lakini yanaleta joto hivi ukiyapaka, Sio mbaya kuchanganya na glycerin. Inaleta mchanganyiko mzuri pia kwa ngozi.Kweli ni mazuri sana ngozi inang'aa
Ila nadhani Kwakuwa ni ya maji na ni mepesi, sehemu zenye baridi /upepo hayatoshi pekee labda na glycerin
Kweli ni mazuri, yasiwafike tu wajuaji wakayachakachua, afu yananukia vizuriii sanaLakini yanaleta joto hivi ukiyapaka, Sio mbaya kuchanganya na glycerin. Inaleta mchanganyiko mzuri pia kwa ngozi.
Nasikia tayari yapo fake,sasa sijui hizi taarifa ni za kweli..Kweli ni mazuri, yasiwafike tu wajuaji wakayachakachua, afu yananukia vizuriii sana
Eeeh wataharibu ladha aseeNasikia tayari yapo fake,sasa sijui hizi taarifa ni za kweli..
mkuu hayo ya upande wa kulia ni fake.Mamy wewe umetumia yapi Kati ya haya
Ya kulia ndio original japo sokoni yapo mengi ya kushotoYana tofauti gani? Mi natumia ya kushoto
Kushoto ndyo fake..kwenye page ya hao watengenezaji yapo hayo ya kulia yasio na maandsh ya kilugha chaoMkuu hay
mkuu hayo ya upande wa kulia ni fake.