2. Kuacha kazi mwenyewe kuna haki unazipoteza automatically ikiwepo Kiinua mgongo (Severance Pay)
Lakini pia kiinua mgongo hupatiwa mfanyakazi mwenye mkataba wa kidumu au kuanzia miaka mitatu kwa pamoja sio uwe umefanya kazi miaka 8 ila ulikuwa unapatiwa mkataba wa miezi 6 hadi inafika hiyo 8.
1. Kikokotoo cha Kiinua mgongo ni uchukue kiasi unacholipwa kwa siku zidisha siku 7 kwa mwaka mmoja yaani unalipwa 20,000×7 unachopata ni thamani ya Kiinua mgongo cha mwaka mmoja
Kwahiyo ukiwa umetimiza masharti ya kupatiwa kiinua mgongo kwa miaka 8 hiyo chukua 20,000×56=(kiinua mgongo)
3. Kabla ya kuacha kazi mwenyewe unatakiwa kujitathmini maisha yako nje ya kazi uliyofanya kwa miaka 8 mfululizo unaweza kusurvive vipi, pia tambua unasurrender haki zako ikiwepo kiinua mgongo,mshahara wa mwezi mmoja umlipe mwajiri wako (Notisi), NSSF hutopatiwa na nauli hadi ulipoajiriwa
Inatosha kwa leo, weekend njema