tafuta kesi ya jamaa inaitwa Emmanuel nini sijui nadhani jina la pili ni la kigiriki tulisomaga kwenye Land Law aiseee sema nimeikosea na sikumbuki vizuri jina sahihi
Hahaha ndo hiyo nafikiri aisee daaah kumbe kumbukumbu zangu zipo vizuri, nafikiri ndo tatizo letu watanzania hatuwezi kujieleza vizuri ili tusaidiwe vizuriEmmanuel Marangaki.. Tatizo inaweza isimsaidie sana.Hajaweka hasa shda yake nini exactly. Ile kesi imegusa issues nyingi kuhusu wagen kumiliki ardhi. Pia imepanua tafsiri ya section 19 ana 20 ya Land Act