mtanzania1989
JF-Expert Member
- May 20, 2010
- 4,068
- 6,758
Eti eeh? kama vipi mkuu nisaidie nibadilishe hivyo viegezo, manake mpaka sasa ukweli hajajitokeza hata mmoja sio kwamba wamejitokeza wachache hata hao wachache hakuna yaani! au sijui nina sura mbaya kiliniponza ushamba wangu wa ugeni kwenye jf nikaweka picha yangu halisi kwenye avatar kumbe wenzangu mnaweka za bandia!
Ha ha ha Mulama bana mie nimejitokeza lakini hutaki kuelewa sijui kwanini???
Ha ha ha haya bana ngoja nikuPM hapa naona haya
🙂 🙂 🙂 🙂
Acha utani bwana! huoni mtanzania kaja juu ulivyosema utani pm? kwa taarifa ni kwamba wewe ulishachukuliwa siku nyingi unanizingua tu hapa!Ha ha ha Mulama bana mie nimejitokeza lakini hutaki kuelewa sijui kwanini???
Ha ha ha haya bana ngoja nikuPM hapa naona haya
kwa kuwa wengi wana ona aibu kutokana na hii sifa no 1
1. Awe amekwishatosheka na maisha yaani si mtafutaji tena kwa maana nyingine awe ameshatembea (ku do) na wanaume si chini ya mia na kwamba hata kama ameshatumia hata mitandao yote poa tu.
Basi badilisha iwe mara kumi tu ( ie mwenye experience )
Acha utani bwana! huoni mtanzania kaja juu ulivyosema utani pm? kwa taarifa ni kwamba wewe ulishachukuliwa siku nyingi unanizingua tu hapa!
Watafuta kesi weye! na kama nikikuta wanitania niite porojo utakubali?
Dena unataka kulipiza porojo za Mulama kwake mwenyewe , acha hizo bwana, si huwa tunasamehe 7 mara 70Mie sina porojo bana we vipi???
Kesi wala siipati
mi nahisi hata hii pia ni porojo! Your not serious...
Mwanamke aliye do na wanaume 100! Khaaa!
Dena unataka kulipiza porojo za Mulama kwake mwenyewe , acha hizo bwana, si huwa tunasamehe 7 mara 70
Mie sina porojo bana we vipi???
Kesi wala siipati
Hakyanani mwanamke mwenye sifa hizo hayupo, labda changudoa wa Ohio, mwanamke aliyedo na wanaume zaidi ya 100.. tena mitandao yote..
Wasiliana na mtanzania1989 kwanza akikupa kibari tuendelee na mazungumzo, hata hivyo naona kama unataka kunizibia vile! manake ukionekana umejitokeza wewe wenye nia watakataa kutangaza kwakuwa watakuogopa aise!
Hakuna ngoma drou wala droo hapa ulilenga kunizibia tu bahati iko kwangu umeshaumbuka kuwa ulikuwa unanitapeli wewe!