Naomba jibu toka TTCL au wahusika wa mawasiliano.

Kikusya

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2011
Posts
274
Reaction score
380
Kila mtu anajua umuhimu wa mawasiliano popote pale ulipo kuwasiliana na jamaa au ndugu kwa kikazi pia. Swala langu ni kwa nini iwe rahisi kupiga simu Kenya kutoka Uk kuliko Tanzania? Utakuta bei ya kupiga kenya ni 6.6p/m wakati huo huo Tanzania ni 21.9p/m unashika Kichwa na kuwaza kuna nini??????????? Naomba jibu kwa wahusika kabla wadau wajaanza kutoa majibu yao. Unapozungumzia uchumi bila mawasiliano nafuu ni tatizo kubwa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba uongee kwa data sio story gapi utajibiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…