Maashine Yenyewe
Member
- Apr 25, 2017
- 8
- 6
Habari wadau
Mimi ni mtaalamu wa maabara ngazi ya Diploma na nina uzoefu wa kutosha katika fani hii.
Naomba kazi ya muda mfupi(part time) kipindi hiki cha sikukuu kwa mwenye uhitaji au unayetaka kushikiwa nafasi yako kipindi hiki.
Ni kwa Dar es Salaam pekee.
Natanguliza shukrani.
0689 536 404
Mimi ni mtaalamu wa maabara ngazi ya Diploma na nina uzoefu wa kutosha katika fani hii.
Naomba kazi ya muda mfupi(part time) kipindi hiki cha sikukuu kwa mwenye uhitaji au unayetaka kushikiwa nafasi yako kipindi hiki.
Ni kwa Dar es Salaam pekee.
Natanguliza shukrani.
0689 536 404