saiid ngulup
New Member
- Mar 1, 2025
- 2
- 4
Kwajina naitwa Saiid Omaly Ngulupy
Nina uzoefu wa udereva wa miaaka minne .nimkazi wa chamzi .ninauzoefu wa gari zifuatazo garindogo ya aina yeyote .na kinzia tani moja ady 20 kwa gari za mizigo
Pia nina uzoefu wa ufundi miaaka mitano .mwaka moja kati ya iyoo nilisomeaa ufundi katika chuoo cha maendeleoo ya wannchi Mtwara .
Ombilangu kwa yeyote anaee itaji dereva .namba zangu ni 069889986, 0692509664
Nina uzoefu wa udereva wa miaaka minne .nimkazi wa chamzi .ninauzoefu wa gari zifuatazo garindogo ya aina yeyote .na kinzia tani moja ady 20 kwa gari za mizigo
Pia nina uzoefu wa ufundi miaaka mitano .mwaka moja kati ya iyoo nilisomeaa ufundi katika chuoo cha maendeleoo ya wannchi Mtwara .
Ombilangu kwa yeyote anaee itaji dereva .namba zangu ni 069889986, 0692509664