Naomba kirefu cha "RT"

Naomba kirefu cha "RT"

Mabobish

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2018
Posts
367
Reaction score
282
Nimekutana na kifupisho hicho kwenye matumizi ya mazungumzo katika mitandao mara nyingi ila nimechemka kufahamu maana yake, naomba wajuzi wa kudadavua mnisaidie maana yake.
 
Kama ishu haihusiani na twitter inamaanisha Real Talk yaani ni facts na honesty tu ndiyo vinazungumzwa
 
Back
Top Bottom