Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo Hapo Lilipoungua Ukiuliza Utapewa ConnectionNashukuru ndg, k/koo sehemu gani? Lile soko si liliunguaga?
Ni plastic yeah , zinapiga mzigo kama kawaMbona inaonekana kama Plastic?Au bado zinapiga mzigo?
Habari
Naomba kuelekezwa mahali wanapouza hii mifuko kwa bei ya jumla kwa hapa Dar. Natanguliza shukrani, Asanteni
View attachment 2154987
Mbona inaonekana kama Plastic?Au bado zinapiga mzigo?
Marufuku Bongo?Hiyo si imepigwa marufuku?
Weeh hata hii mingine mingine pia ni kitonga kuliko kkoo?Nenda mnazi mmoja kama unaelekea posta, kuna mtaa unaitwa kibeberu sijui,ndo wanauza bei za kitonga kuliko kariakoo
Ni kwa vile hailipi Kodi Nini inaingizwa kimtego mtegoMarufuku Bongo?