Naomba kuelekezwa namna ya kuagiza mzigo kutoka India Kuja Tanzania

Naomba kuelekezwa namna ya kuagiza mzigo kutoka India Kuja Tanzania

Super Charged

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2020
Posts
947
Reaction score
1,710
Habari Wanafamilia Wa JF,

Katika Pitapita Zangu Za Mtandaoni Nimeona Bidhaa Nikaipenda,Haipatikani Popote Isipokuwa India. Muuzaji Anafanya Delivery Ndani Ya India tu. Naomba Kujuzwa Wana JF kama Kuna Kampuni Lolote la Usafirishaje Lililoko India Linalosafirisha mizigo Kutoka India mpaka Tanzania,Ili Aufikishe Mzigo kwenye Hilo Kampuni Usafirishaji.

Au Njia Yoyote unayoijua ambayo Inaweza Toa mzigo India to Tanzania Naomba Msaada Wa Maoni Yako Ili Nimpange Huyo Mbaniani Aniletee Mzigo.
 
Labda ungejaribu kuwasiliana na silent ocean.. hawatoi India ila wanaweza kukupa muongozo mzuri.
 
It's very simple: Wasiliana na hao wauzaji wakutumie Proforma Invoice, ionyeshe (Shipping Terms-CIF-Dar es Salaam, Tanzania kisha ulipie na watakutumia mzigo hadi Dar.
 
It's very simple: Wasiliana na hao wauzaji wakutumie Proforma Invoice, ionyeshe (Shipping Terms-CIF-Dar es Salaam, Tanzania kisha ulipie na watakutumia mzigo hadi Dar.
Nashukuru Mkuu,Ngoja Nifatilie
 
Habari Wanafamilia Wa JF,

Katika Pitapita Zangu Za Mtandaoni Nimeona Bidhaa Nikaipenda,Haipatikani Popote Isipokuwa India. Muuzaji Anafanya Delivery Ndani Ya India tu. Naomba Kujuzwa Wana JF kama Kuna Kampuni Lolote la Usafirishaje Lililoko India Linalosafirisha mizigo Kutoka India mpaka Tanzania,Ili Aufikishe Mzigo kwenye Hilo Kampuni Usafirishaji.

Au Njia Yoyote unayoijua ambayo Inaweza Toa mzigo India to Tanzania Naomba Msaada Wa Maoni Yako Ili Nimpange Huyo Mbaniani Aniletee Mzigo.
Wasiliana na huyu agent+91 98207 86429
 
Unawezaje kujua garama ya kodi utakayotozwa kutoa mzigo Bandarini kabla mzugo kuingia?
 
Unawezaje kujua garama ya kodi utakayotozwa kutoa mzigo Bandarini kabla mzugo kuingia?
Ni vizuri kufahamu gharama za ushuru/kodi unaopaswa kulipia kabla hujaagiza mzigo kutoka nje ya nchi.

Na ili kufahamu hili wasiliana na ofisi yoyote ya Tra au wakala yeyote wa forodha (Clearing and Forwarding Agent). Usiagize mzigo kabla ya kufahamu ushuru/kodi utakayopaswa kulipa.
 
Mkuu hii ina work hata nje ya India? Na je Kama ni loose cargo inakuaje?
It's very simple: Wasiliana na hao wauzaji wakutumie Proforma Invoice, ionyeshe (Shipping Terms-CIF-Dar es Salaam, Tanzania kisha ulipie na watakutumia mzigo hadi Dar.
 
Aisee hv hakuna aliyefanikiwa kuagiza mzigo india,mbona wahndi wenyew wanaleta bidhaa sisi tunashindwa wapi?
 
Jamani naona Silent ocean wamefungua ofisi india, vipi hakuna aliyefanya Shopping na kusafirisha alete uzoefu hapa?
 
Back
Top Bottom