Laki moja ni kwaajili ya application tu yani ili waitazame channel yako,wakishaona inafaa kupewa leseni ndipo wanakupa control namba ya kulipia leseni ambayo ni laki tano.u
Hivi ile laki moja kama unaanza ni unalipia kwa mwaka mzima au hio ni kwaajili ya usajili tuu ile laki tano ipo pale pale
Revenue ni swala pana sana but nitaeleza kwa ninavyoelewaHujaongelea jinsi ya kupata revenue
mkuu kwa mawazo haya utagawa tigo unawaza vitu vikubwa sanaOnline TV ili ivutie watu, unahitaji shows kali. Na kuwa na shows kali, unahitaji wasanii, vifaaa vizuri vya video and audio recording, na camera crew nzuri. Ili kufanya kitu cha maana, uwe na tshs milion 100 au zaidi. Competition leo pia ni kubwa. Fikiria ni kwa nini mtu aache kuangalia videos za Millard, WCB, Mwananchi digital etc aangalie za kwako? Na bila views, hauna bishara. Youtube tv unalipwa kwa views. Mambo ya ad sense, hayaendani na youtube videos. Hayo ni website