Naomba kuelekezwa namna ya kubadili Tarriff

Naomba kuelekezwa namna ya kubadili Tarriff

Musundi

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
1,584
Reaction score
2,613
Habari wandugu?

Naomba ufafanuzi kwa mwenye uelewa:
Nimepewa namba na TANESCO niingize kwenye mita kwa ajili ya kubadilisha Tariff. Nilichosahau kuuliza: Naweza kuziingiza sasa hivi au ni lazima nisubiri units zilizomo ziishe kwanza ndio niingize namba hizo kwenye mita?
 
Jibu: namba unaziingisa sasa hivi ukiisha umeme ni usumbufu ukaingizie kwa jirani au utumie betri kwenye remote yako.
 
Nakujibu kulingana na uzoefu,ingiza sasa hivi kabla umeme haujaisha kwa kuanza unaingiza hizo namba then umeme na kumalizia ok.
 
Hongera sana kwa kuweza kutumia umeme chini ya unit 75 kwa mwezi.

Lets keep joke aside ila unawezake kutumia unit 2.5 kwa siku? Unatumia taa ngapi? Friji? TV? Radio? Kuchaji Simu? Kutumia PC/Laptop? Kupiga pasi?
 
Habari wandugu?

Naomba ufafanuzi kwa mwenye uelewa:
Nimepewa namba na TANESCO niingize kwenye mita kwa ajili ya kubadilisha Tariff. Nilichosahau kuuliza: Naweza kuziingiza sasa hivi au ni lazima nisubiri units zilizomo ziishe kwanza ndio niingize namba hizo kwenye mita?
Unapaswa kununua umeme kisha utaanza kuingiza hizo namba ulizopewa makundi mawili ndio uingize umeme wako.Hakuna muda maalumu wewe tu utaamua kuingiza muda wowote utakaotaka kuingiza umeme
 
Unapaswa kununua umeme kisha utaanza kuingiza hizo namba ulizopewa makundi mawili ndio uingize umeme wako.Hakuna muda maalumu wewe tu utaamua kuingiza muda wowote utakaotaka kuingiza umeme
Asante kwa ufafanuzi
 
Back
Top Bottom