Tupe mwongozo mkuuHii biashara naielewa sanaa. Ina hela Balaaa. Niamini
Tupe mwongozo mkuu
Nataka togwa iwe na kilevi kama 5% kwa kila kikombe cha robo lita.
Alcohol inatengenezwaje?
Kumbe jf ina nyuzi zinazoelezea haya mambo aiseeSijawahi ifanya ila nina ndoto hzo. Ina mzunguko sana we mwenyewe angalia mtaani utaona.
Kumbe jf ina nyuzi zinazoelezea haya mambo aisee
Long live jf
Utengenezaji wa wine ya ndizi na nanasi
Wapendwa wana JF wenzangu,siku kadhaa zilizopita niliomba kupatiwa ufafanuzi wa namna ya kitengeneza wine ya ndizi,lakini kwa bahati mbaya sijafanikiwa kumaliza kiu yangu.Sasa leo naomba yeyote mwenye utaalamu wa kutengeneza wine ya ndizi na nanasi atupe somo hapa JF.TUSAIDIANE JAMAN!.www.jamiiforums.com
Japo si pombe kali lakin kuna cha kujifunza
Hivi ni kile pale ambacho hakipo mbali na Mwanga bus station ukiwa unaelekea kifaru petrol station upande wa kulia.Vibali unapaata (TMDA) Baada kukaguliwa ili kuangalia kama una eneo , machines (hizi unaagiza Alibaba) na wataalamu( chemist). Ethanol wanatoa moshi wilaya ya mwanga eneo linaitwa kifaru kuna kiwanda kinasupply hii kitu hadi nje ya nchi.. vifungashio wacheki jamaa wa kiwanda cha hill water wana machine ya kuproduce chupa za plastics....
Hapo lazima ufanye fermentation yaani uchukue togwa uweke kwenye drums halafu uweke mtama au amira ya pombe wanaita wine yeast ukisubiri siku 7 lazima iwe ya motoTupe mwongozo mkuu
Nataka togwa iwe na kilevi kama 5% kwa kila kikombe cha robo lita.
Alcohol inatengenezwaje?
Mashine zipo SIDOVibali unapaata (TMDA) Baada kukaguliwa ili kuangalia kama una eneo , machines (hizi unaagiza Alibaba) na wataalamu( chemist). Ethanol wanatoa moshi wilaya ya mwanga eneo linaitwa kifaru kuna kiwanda kinasupply hii kitu hadi nje ya nchi.. vifungashio wacheki jamaa wa kiwanda cha hill water wana machine ya kuproduce chupa za plastics....
Mashine zipo Sido seriously?Mashine zipo SIDO
Minimal capital yake inapaswa uwe na kiasi gani mkuu?Hii biashara naielewa sanaa. Ina hela Balaaa. Niamini
5milomMinimal capital yake inapaswa uwe na kiasi gani mkuu?