Kama unataka kununua kiwanja jiridhishe yafuatayo:
1. Kinamilikiwa na watu wengi au mmoja (Epuka kuziwa mali ya mali ya watu wengi bila ya kuwashirikisha wahusika wote)
2. Hakikisha hakina mgogoro kwa kuuliza majirani au wauzaji au ungozi wa mtaa husika.
3. Kama kina hati unashuriwa ukafane title search kwa msajili wa hati.
4.Hakikisha unafanya malipo yote pale title deed transfer inapokubaliwa na kamishna wa Ardhi. Usili pesa yote mpaka transfer ipite kwani inawezekana nyaraka ukapewa feki.
Kununua kiwanja ni process ndugu...
1. Ufanye verification kama hicho kiwanja kipo ama la....
2. Baada ya kujua kama kipo then inapaswa ufuatilie kwa undani kwa kumuhoji huyo mmiliki. mfano, kina hati? yeye alipaswa kumiliki kwa miaka mingapi na mingapi imebaki? Ni cha urithi ama? kwanini anauza nk nk...
3. Baada ya hapo inabidi upige official search ambapo utaomba kwa kamishna wa ardhi. Yeye atakupa jina sahihi la mmiliki na muda wa umiliki nk...
4. Utanunua ardhi yako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.