Kununua kiwanja ni process ndugu...
1. Ufanye verification kama hicho kiwanja kipo ama la....
2. Baada ya kujua kama kipo then inapaswa ufuatilie kwa undani kwa kumuhoji huyo mmiliki. mfano, kina hati? yeye alipaswa kumiliki kwa miaka mingapi na mingapi imebaki? Ni cha urithi ama? kwanini anauza nk nk...
3. Baada ya hapo inabidi upige official search ambapo utaomba kwa kamishna wa ardhi. Yeye atakupa jina sahihi la mmiliki na muda wa umiliki nk...
4. Utanunua ardhi yako...