Naomba kuelekezwa uwiano wa mtama, mahindi na ngano kwajili ya unga wa ugali

kimbendengu

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2013
Posts
6,716
Reaction score
12,116
Jamani nahitaji kula ugali nina mtama,mahindi na ngano wadau naomba uwiano wa kuchanganya nafaka hizo asanteni
 
Uwele sikushauri, vyakula km karanga, ufuta, uwele and the like havishauriwi kuchanganywa na nafaka. Baada ya muda mfupi unga wako utabadilika ladha yake na kuwa km na uchungu hivi, hizo ni toxins zilizotengenezwa na mafuta hayo. Unless uwe na uhakika wa kutumia mchanganyiko huo kwa muda mfupi sana. Vinginevyo ni hatari kwa afya yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…