Mr simple M
JF-Expert Member
- Sep 18, 2020
- 2,202
- 4,653
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu nataka kujua maana ya maneno hayo hapo juu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana mkuu nimekupata vilivyo so ipi ni nzuri zaidiRwd- Rear wheel drive; Engine inapeleka nguvu kwenye matairi ya nyuma (diff iko nyuma pekee). Mfano wa gari hizi ni Gx 100/ 110.
Fwd na 4wd ni kitu kimoja.. Maana yake hii ni two wheel drive (2wd) yenye uwezo wa kugeuza kuwa 4wd katika mazingira fulani pale itakapolazimu kwa kuweka gear ya four wheel au kwa kubonyeza butyon kwenye haya magari ya kisasa.
Mfano hapa ni Nissan Patrol.
Awd- All wheel drive.. Gari hii, tairi zote nne zinazungushwa na engine.. Mara nyingi torque (nguvu ya ya kuzungusha tairi) hugawanywa kwa computer ambayo 10% huenda mbele na 90% huenda nyuma kwenye mazingira ya kawaida ila gari ikikwama, nguvu ya tairi za mbele huongezwa hadi kufikia 40% na nyuma hupungua hadi 60% ili kuweza kulifanya gari kupita kwenye bara bara korofi.
Mfano wa gari hii ni Toyota Rav 4!
RWD - rear wheel drive gari hizi propeler shaft inazungusha matairi ya nyuma mfano brevis.Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu nataka kujua maana ya maneno hayo hapo juu
Mkuu FWD huwa ni front wheel drive na sio four wheel driveRwd- Rear wheel drive; Engine inapeleka nguvu kwenye matairi ya nyuma (diff iko nyuma pekee). Mfano wa gari hizi ni Gx 100/ 110.
Fwd na 4wd ni kitu kimoja.. Maana yake hii ni two wheel drive (2wd) yenye uwezo wa kugeuza kuwa 4wd katika mazingira fulani pale itakapolazimu kwa kuweka gear ya four wheel au kwa kubonyeza butyon kwenye haya magari ya kisasa.
Mfano hapa ni Nissan Patrol.
Awd- All wheel drive.. Gari hii, tairi zote nne zinazungushwa na engine.. Mara nyingi torque (nguvu ya ya kuzungusha tairi) hugawanywa kwa computer ambayo 10% huenda mbele na 90% huenda nyuma kwenye mazingira ya kawaida ila gari ikikwama, nguvu ya tairi za mbele huongezwa hadi kufikia 40% na nyuma hupungua hadi 60% ili kuweza kulifanya gari kupita kwenye bara bara korofi.
Mfano wa gari hii ni Toyota Rav 4!
Inategemea na matumizi yakoAsante sana mkuu nimekupata vilivyo so ipi ni nzuri zaidi
Jackpot Men!..kongole kwakoRwd- Rear wheel drive; Engine inapeleka nguvu kwenye matairi ya nyuma (diff iko nyuma pekee). Mfano wa gari hizi ni Gx 100/ 110.
Fwd na 4wd ni kitu kimoja.. Maana yake hii ni two wheel drive (2wd) yenye uwezo wa kugeuza kuwa 4wd katika mazingira fulani pale itakapolazimu kwa kuweka gear ya four wheel au kwa kubonyeza butyon kwenye haya magari ya kisasa.
Mfano hapa ni Nissan Patrol.
Awd- All wheel drive.. Gari hii, tairi zote nne zinazungushwa na engine.. Mara nyingi torque (nguvu ya ya kuzungusha tairi) hugawanywa kwa computer ambayo 10% huenda mbele na 90% huenda nyuma kwenye mazingira ya kawaida ila gari ikikwama, nguvu ya tairi za mbele huongezwa hadi kufikia 40% na nyuma hupungua hadi 60% ili kuweza kulifanya gari kupita kwenye bara bara korofi.
Mfano wa gari hii ni Toyota Rav 4!
Yeah sure! Nilisahau hilo.Mkuu FWD huwa ni front wheel drive na sio four wheel drive
Rear wheel driveKama kichwa kinavyojieleza hapo juu nataka kujua maana ya maneno hayo hapo juu
Rear Wheel DriveKama kichwa kinavyojieleza hapo juu nataka kujua maana ya maneno hayo hapo juu
FWD ni front wheel drive... 4wd ndio hiyo uliyotafsiri hapo it can be 2 or 4Fwd na 4wd ni kitu kimoja.. Maana yake hii ni two wheel drive (2wd) yenye uwezo wa kugeuza kuwa 4wd katika mazingira fulani pale itakapolazimu kwa kuweka gear ya four wheel au kwa kubonyeza butyon kwenye haya magari ya kisasa.