Naomba kuelewa mchakato wa barabara ya kutokea Mbezi Mwisho kwenda Bunju kupitia Mpigi Magoe umefikia wapi?

Naomba kuelewa mchakato wa barabara ya kutokea Mbezi Mwisho kwenda Bunju kupitia Mpigi Magoe umefikia wapi?

Kwasenga

Member
Joined
Feb 24, 2021
Posts
55
Reaction score
53
Tenda: TR36/002/2023/2024/W/98 kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya Mbezi Victoria kuelekea Bunju kupitia Mpigi Magoe


Wakuu naomba kuelewa mchakato wa barabara ya kutokea Mbezi Mwisho kwenda Bunju kupitia Mpigi Magoe umefikia wapi?

Kinachonisikitisha hii tenda hata kwenye NEST ishatolewa na hionyeshi imekuwa awarded kwa nani.

Au ishapigwa changa la macho tena? Kwa maana imekuwa ikiahidiwa kila mwaka ila mchakato haueleweki unakoishia.

Cha kusikitisha tenda hii kama imetolewa kwenye Nest bila mchalato kufikia mwisho maana inatia shaka kama itajengwa.

Naomba mwenye taarifa juu ya hii barabara na hii tenda anipatie.
 
Nimesikitika kuona tenda iliyotangazwa mwezi June 2024 ikiwa na refence TR36/002/2023/2024/W/98 imetangazwa tena mwezi Novamba kwa reference namba TR36/002/2024/2025/W/88.

Shida iko wapi?? Kwani humu hakuna TANROADS wakatolea ufafanuzi?? Au ni danadana tu hii barabara ya Mbezi Victoria-Bunju haijengwi??

Naomba mwenye kujua sababu ya kutangaza tena anisaidie.
 
Back
Top Bottom