Kaka ikifika kipindi cha kulipa deni tunalipa wote kwa kufunga mikandaSio kila jambo lazima uelewe.wewe jua kwamba sgr inajengwa kwa manufaa ya nchi.
@uncle madeni yapogo tu miaka yote usihofu. kwa rasilimali zilizopo Tanzania na usimamizi wa mapato ukiwa mzuri madeni yatalipwa na nchi itasonga kwa kasi yamwanga.Kaka ikifika kipindi cha kulipa deni tunalipa wote kwa kufunga mikanda
Semeni ukweki kwamba tunajenga kwa fedha ya mkopo idiotWewe ukikopa hela inakuwa siyo ya kwako sio? Au ukikopa huwaga Hulipi?
Tofautisha Grant na Loan hiyo Mikopo Tutailipa sisi sisi wananchi hivo tunajenga kwa Pesa zetu ni kama wewe leo ukope Bank afu ujenge nyumba utasema bank imekujengea nyumba au utasema nimejenga nyumba?
Jiwe,Kabudi na Pole Pole wanasema SGR inajengwa kwa hela za ndani tena cash money,tena Jiwe akaenda mbali zaidi kuwakashifu watangulizi wake hasa Kikwete kwa kukopa hela na kufanya miradi ya maendeleo.Wewe ukikopa hela inakuwa siyo ya kwako sio? Au ukikopa huwaga Hulipi?
Tofautisha Grant na Loan hiyo Mikopo Tutailipa sisi sisi wananchi hivo tunajenga kwa Pesa zetu ni kama wewe leo ukope Bank afu ujenge nyumba utasema bank imekujengea nyumba au utasema nimejenga nyumba?
Jibu hili hapa leo;Kuna suala naona silielewi kwenye ujenzi wa SGR kila Rais Magufuli anapohutubia hupenda kujipambanua kuwa mradi wa SGR serikali inatumia fedha zake za ndani.
Lakini kwa kusoma sehemu mbalimbali naona kama tunakopa hela toka Mabenki ya nje mfano kipande cha Dar - Moro, kuna hela zimetoka mabenki ya Uturuki na Leo hii nimesoma kuwa Standard Chartered Bank wametoa hela kwa ajili ya kipande cha Moro- Makutupora.
Sasa huo mchanganyiko siuelewagi kabisa
Safi sana mkuuWewe ukikopa hela inakuwa siyo ya kwako sio? Au ukikopa huwaga Hulipi? Tofautisha Grant na Loan hiyo Mikopo Tutailipa sisi sisi wananchi hivo tunajenga kwa Pesa zetu ni kama wewe leo ukope Bank afu ujenge nyumba utasema bank imekujengea nyumba au utasema nimejenga nyumba?
Anamaanisha kwamba pesa zinazotumika zinatokana na pato la ndani na mikopo anayochukua italipwa kwa pato la ndani bila usaidizi kutoka nje. Hakuna Nchi itakayoombwa kutusaidia kulipa deni litokanalo na Ujenzi wa SGR.
Kuna suala naona silielewi kwenye ujenzi wa SGR kila Rais Magufuli anapohutubia hupenda kujipambanua kuwa mradi wa SGR serikali inatumia fedha zake za ndani.
Lakini kwa kusoma sehemu mbalimbali naona kama tunakopa hela toka Mabenki ya nje mfano kipande cha Dar - Moro, kuna hela zimetoka mabenki ya Uturuki na Leo hii nimesoma kuwa Standard Chartered Bank wametoa hela kwa ajili ya kipande cha Moro- Makutupora.
Sasa huo mchanganyiko siuelewagi kabisa
Umeielewa mada kweli?Hii nchi ngumu hakuna utakachofanya ukakubalike.
Hela ingeweza kutoka na kazi isifanyike, sijui hapo tungesemaje.
Hongera sana Mheshimiwa Rais John Pombe Magufuli,
Fanya kazi tu, pengine thawabu utapata Mbinguni siyo duniani hapa.