Naomba kueleweshwa kuhusu mkataba wa IPTL na serikali

Naomba kueleweshwa kuhusu mkataba wa IPTL na serikali

kimwelage

Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
55
Reaction score
21
Naomba nieleweshwe kuhusu IPTL,nakumbuka mkatataba na serikali ulikuwa wa 20 years,na umeshakwisha,serikali imegomA kuhonor renewal application,je IPTL wana issue yeyote na serikali maana naona kama wanahisi hawajatendewa haki.more details please

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom