Naomba kueleweshwa kuhusu Outlender na Suzuki Escudo

Mdadamwema.

Senior Member
Joined
Aug 7, 2014
Posts
156
Reaction score
173
Salaam wakuu,

Naomba mwenye uelewa na uzoefu wa magari haya, Mitsubishi outlender na Suzuki escudo, hasa kwenye utumiaji wake wa mafuta na upatikanaji wa spare parts bila kusahau uimara wake.

Asanteni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…