acleyfrancis
Member
- Jan 31, 2017
- 33
- 44
Kuna Uzi ulishaelezea kuhusu Dar Es Salaam stock exchange, itafute kuna kila kitu kule.Habari mabibi na mabwana, kwa yeyote mwenye kuwa na uelewa mpana juu ya soko la hisa la dar es saalam naomba ashee na mm hapa kwaniaba ya wengi wanaohitaji kujua...
ukinipeleka kwene huo uzi utanisaidia sana kaka, lakin pia naomba shule niijue hii NVIDIAKuna Uzi ulishaelezea kuhusu Dar Es Salaam stock exchange, itafute kuna kila kitu kule.
Sema ungeinvest NVIDIA , saahizi ungekuwa unakula unono. Anyway.
Aisee kuupata Uzi huo ni kazi maana ni miaka imepita.ukinipeleka kwene huo uzi utanisaidia sana kaka, lakin pia naomba shule niijue hii NVIDIA
sawa mkuu ntaona namna yakucheki hio NVIDIA piaAisee kuupata Uzi huo ni kazi maana ni miaka imepita.
NVIDIA ni stock inayopatikana kwenye Newyork stock exchange.
Mzeee emu nielekeze jinsi ya kununua hisa za nje ya nchiKuna Uzi ulishaelezea kuhusu Dar Es Salaam stock exchange, itafute kuna kila kitu kule.
Sema ungeinvest NVIDIA , saahizi ungekuwa unakula unono. Anyway.