Naomba kuelezwa faida, hasara na kila kitu kuhusu biashara ya Kemikali

king herode

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2017
Posts
368
Reaction score
571
Habari za jioni Wakuu?

Leo nimependa kujua biashara ya uuzaji wa kemikali kwa wale wote wanahohusika na hii biashara

Naomba mnipe hints kuhusu biashara hii katika kila kitu kuanzia mtaji uendeshaji usimamizi na masoko yake.

NB: kemikali kwa ujumla

Natanguliza shukrani kwa wachangiaji
 
Vipi umewahi pata mrejesho wowote hata nje ya hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…