chinatown
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 1,232
- 1,105
Nafahamu utendaji wa figo, kuchuja uchafu na vitu vinginge vilivyo katika damu na kutoka kwenye mwili wa binadamu kwa njia ya mkojo.
Na hii hufanyika mara thelathini na ushee hivi kwa masaa 24, nataka kujua hiki ambacho nime experience kwangu, mara zote nikiamka asubuhi na kwenda kupuu mkojo huwa colored kama chai ya rangi au inayoelekea huko, lakini nikioga tu mara nyingi sio zote huwa nasikia mkojo ambao huwa kidogo >200mls unakuwa clear kabisaa.
Nataka kujua mechanism ya figo hapa maana nilitegemea kuendelea kupata mkojo colored maana ninakuwa bado sijanywa kimiminika chochote muda huo, nilitegemea labda baada ya kula au kunywa ndio nipate clear urine.
Michango yenu tafadhari!
Na hii hufanyika mara thelathini na ushee hivi kwa masaa 24, nataka kujua hiki ambacho nime experience kwangu, mara zote nikiamka asubuhi na kwenda kupuu mkojo huwa colored kama chai ya rangi au inayoelekea huko, lakini nikioga tu mara nyingi sio zote huwa nasikia mkojo ambao huwa kidogo >200mls unakuwa clear kabisaa.
Nataka kujua mechanism ya figo hapa maana nilitegemea kuendelea kupata mkojo colored maana ninakuwa bado sijanywa kimiminika chochote muda huo, nilitegemea labda baada ya kula au kunywa ndio nipate clear urine.
Michango yenu tafadhari!