Naomba kuelimishwa jinsi ya kuandaa mazao tofauti pamoja na mbogamboga. Vitu gani vinauzika zaidi?

Naomba kuelimishwa jinsi ya kuandaa mazao tofauti pamoja na mbogamboga. Vitu gani vinauzika zaidi?

makaveli10

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
31,583
Reaction score
92,670
Habari zenu wakuu,

Ndugu yenu nimekuja hapa nina jambo, wale wataalam wa bustani, wenye uzoefu ama ujuzi katika harakati hizi nahitaji mawili ma3.

Ndugu yenu nataka nianze kulima bustani nimetenga eneo la hekari kama 2 hivi, nishafanikiwa kuchimba na kisima, naendelea kukifukua nipate maji ya kutosha zaidi.

Wajuzi mnisaidie jinsi ya kuandaa mazao tofauti tofauti na mboga mboga, vitu gani vinauzika zaidi!

Walimaji wa nyanya na mazao tofauti mnaweza mkanishauri pia aina ya mbegu bora zenye kuleta mazao mengi na kuhimili magonjwa na iliyokuwa inapendwa sokoni.

Shamba lipo Mkuranga, aliyekaribu na maeneo hayo naweza kuja shambani kwako nikajifunza mawili matatu, aliye karibu na shambani kwangu anaweza akatokea pia akihitaji.
 
Gawa nusu hekari mara nne au robo au kulingana na Kiwango cha mazao ulichojipangia kuvuna KWA kila pattern ya shamba lako.

Nunua mbole ya kuku tandaza shambani mix vizuri..

Panda nyanya...
Pilipili hoho.
Karoti.

Kingine Angalia soko la eneo ulipo demand Kubwa ni nini na ufanye kusupply



Usisahau kufuga na tukuku Ili kupata uhakika wa mbolea.

Nikutakie heri mkuu
 
Gawa nusu hekari mara nne au robo au kulingana na Kiwango cha mazao ulichojipangia kuvuna KWA kila pattern ya shamba lako.

Nunua mbole ya kuku tandaza shambani mix vizuri..

Panda nyanya...
Pilipili hoho.
Karoti.

Kingine Angalia soko la eneo ulipo demand Kubwa ni nini na ufanye kusupply



Usisahau kufuga na tukuku Ili kupata uhakika wa mbolea.

Nikutakie heri mkuu
Shukrani kaka, nitalifanyia kazi.
 
Naweka kambi hapa,
Shusheni madini kwa faida ya wengi.
Nina kaeneo nataka kufanya bustani mkuu kama wewe.

Nataka kufuga ni kuku wachache tu kwa ajili ya kula mwenyewe, wakiwa wengi na kunizidia nageuza kuwa mradi.

Najua mboga mboga zisipouzika naweza kuwapa kuku wakala, inakuwa win win situation na kuna jamaa amenielekeza namna ya kutengeneza wadudu (protein) kwa kutumia mbolea hata ya ngombe niwape kuku wanenepe.

Mungu akijalia tutashare experience pamoja na changamoto zake.
 
Naweka kambi hapa,
Shusheni madini kwa faida ya wengi.
Nina kaeneo nataka kufanya bustani mkuu kama wewe.

Nataka kufuga ni kuku wachache tu kwa ajili ya kula mwenyewe, wakiwa wengi na kunizidia nageuza kuwa mradi.

Najua mboga mboga zisipouzika naweza kuwapa kuku wakala, inakuwa win win situation na kuna jamaa amenielekeza namna ya kutengeneza wadudu (protein) kwa kutumia mbolea hata ya ngombe niwape kuku wanenepe.

Mungu akijalia tutashare experience pamoja na changamoto zake.
Nipe hiyo ya kutengeneza wadudu(chakula cha kuku) kwa mbolea.
 
Back
Top Bottom