Najipanga kwenda kujiunga na jukwaa la katiba katika kata yangu lakini sijajua vizuri kabla ya majadiliano itakuwaje.
-Je tutapewa hiyo rasimu kwanza tusome au nini kukusanya mawazo mapya kama ilivyokuwa awali?
-Je kutakuwa kupiga kura za kupitisha maoni au ni kujadili tu?
-Je kama wakiingia watu wa kisiasa tupu itakuwa katika ya kuleta maendeleo kweli?
Naomba mnisaidie jamani mnaojua kidogo swala hili.
-Je tutapewa hiyo rasimu kwanza tusome au nini kukusanya mawazo mapya kama ilivyokuwa awali?
-Je kutakuwa kupiga kura za kupitisha maoni au ni kujadili tu?
-Je kama wakiingia watu wa kisiasa tupu itakuwa katika ya kuleta maendeleo kweli?
Naomba mnisaidie jamani mnaojua kidogo swala hili.