Naomba kuelimishwa juu ya jambo hili

NANGA WA DEPO

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2014
Posts
917
Reaction score
1,201
Mimi najiandaa kufanya mtihani wa kidato cha sita (acsee) 2016 kama mtahiniwa wa kujitegemea, endapo ratiba ya mtihani haitaathiri masomo nitakayo soma,

(1) je! kuna ulazima wa mimi kusoma masomo ambayo yako katika mpangilio wa tahasusi? (2) ningependa kujua pia,,masomo ya dini yana nafasi gani au yanachangia nini katika matokeo? Naomba ufafanuzi ili niweze kufanya maamuzi sahihi
 
Dini wanahesabu kama kawa. . Ishu c kupata princpo uende chuo, pga ata na dini incase kama hujiamin kweny masom ya kawaida. .
 

Chukua masomo mengine yoyote ila ya dini tupilia mbali!! Cisi tumeyasoma kumbe tulikuwa tupapalilia mbuyu!!
 
hapo itabidi uwe makini sana na timetable katika hayo masomo unayotaka kuchukua.Maana kama utachukua masomo ambayo hayatengenezi comb yoyote kati ya zilizopo unaweza kujikuta unatakiwa kufanya vipindi viwili katika muda mmoja,ambacho ni kitu kisicho wezekana.ila unaweza kusoma masomo ambayo hayatengenezi comb yoyote kilichopo yacwe yanafanyika kwa muda mmoja katika acsee 2016 timetable.
 

ok mkuu nimekupata vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…