Kuna hizi sabuni wanaita za asilia kwa ajili ya kusafisha uke. Sabuni kama Kaisiki & Ivan na nyingine za kampuni kama ya gnld. Je zinaweza sababisha madhara yeyote kwa mtumiaji? Naomba kuelimishwa Plz
Kuna hizi sabuni wanaita za asilia kwa ajili ya kusafisha uke. Sabuni kama Kaisiki & Ivan na nyingine za kampuni kama ya gnld. Je zinaweza sababisha madhara yeyote kwa mtumiaji? Naomba kuelimishwa Plz