Naomba kuelimishwa juu ya risiti za EFD

Naomba kuelimishwa juu ya risiti za EFD

jacquejaytee

Member
Joined
Jan 20, 2014
Posts
46
Reaction score
27
Habarini za wakati huu.

Mwenye uelewa wa kwanini wafanyabiashara wengi wakienda kununua bidhaa maduka ya jumla wanapenda kwenye zile risiti za manunuzi zitumike TIN NUMBER ZAO, naomba anielezee kwa Kiswahili chepesi ili nielewe nini maana yake na nini faida zake na pengine ata hasara zake.

Shukrani!

NB: Naomba maelekezo yawe in layman’s language yaan yaelezewe ktk lugha nyepesi yenye kueleweka ata na mtu aliesoma mpaka darasa la 7.
 
maduka ya jumla wanapenda kwenye zile risiti za manunuzi zitumike TIN NUMBER ZAO
  • Mlipa kodi hutambuliwa kwa TIN number.
  • Iwapo mimi au wewe, ni wafanyabiashara, Tukitumia TIN namba zetu, itaonyesha kuwa biashara inafanyika na linapokuja swala la kodi, ni kulingana na jinsi ulivyofanya mauzo/ biashara.
  • Ila mimi na wewe tukitumia TIN namba za wengine (wateja) Mwisho wa siku unapofanyiwa hesabu, kwenye TIN namba yako itakuwa na mauzo kidogo, hivyo kodi inakuwa ndogo.
Nb :naomba maelekezo yawe in layman’s language yaan
Ni njia ya kukwepa kodi kubwa kwa mfanya biashara. Hakuna Faida nyingine
 
Kuielezea inahitajika utaalamu kweli lakini Nia halisi ni kutambulika ni mlipa Kodi.Wazee wa VAT wanakuja na habari kamili
 
  • Mlipa kodi hutambuliwa kwa TIN number.
  • Iwapo mimi au wewe, ni wafanyabiashara, Tukitumia TIN namba zetu, itaonyesha kuwa biashara inafanyika na linapokuja swala la kodi, ni kulingana na jinsi ulivyofanya mauzo/ biashara...

Okay.Asante kwa ufafanuzi huu! Iko tricky kwelikweli
 
Fundi Simu analipia leseni na mapato anakadiliwa ila TANESCO WANAKATA UMEME SIKU MAALUMU (GULIO)siku YA FUNDI KUPATA PESA... na bado serikali inasubiri kodi ya fundi.
 
Fundi Simu analipia leseni na mapato anakadiliwa ila TANESCO WANAKATA UMEME SIKU MAALUMU (GULIO)siku YA FUNDI KUPATA PESA... na bado serikali inasubiri kodi ya fundi.
ni kama wewe na tumbo lako+ jiko, siku gesi imekuishia usipotafuta mbadala tumbo litakudai tu msosi no mata waaaa
 
Habarini za wakati huu.

Mwenye uelewa wa kwanini wafanyabiashara wengi wakienda kununua bidhaa maduka ya jumla wanapenda kwenye zile risiti za manunuzi zitumike TIN NUMBER ZAO, naomba anielezee kwa Kiswahili chepesi ili nielewe nini maana yake na nini faida zake na pengine ata hasara zake.

Shukrani!

NB: Naomba maelekezo yawe in layman’s language yaan yaelezewe ktk lugha nyepesi yenye kueleweka ata na mtu aliesoma mpaka darasa la 7.
V.A.T inapigwa hesabu hivi (input v.a.t - Out put V.a.t) yaani Input V.a.t inatokana na Mauzo(sales), oUTPUT V.A.T INATOKANA na manunuzi(purchase) kwa hiyo akinunua akidai rirsti ya tin namba yake anajua kaongeza output v.a.t means atalipa kidog V.A.T kwa wale jamaa
 
Back
Top Bottom