Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Nasikia kuna matofali mazito mara kuna matofali ya kawaida!
Je tofauti zao huwa ipi?
Je yanatengenezwa kwa kutumia nini?
Je matofali mazito yana ratio gani? Na mepesi je?
Je yanatakiwa yawe na compressive strength kiasi gani?
Naomba kiwasilisha.
Je tofauti zao huwa ipi?
Je yanatengenezwa kwa kutumia nini?
Je matofali mazito yana ratio gani? Na mepesi je?
Je yanatakiwa yawe na compressive strength kiasi gani?
Naomba kiwasilisha.