Naomba kuelimishwa kuhusu suala la Pete za Uchumba

Naomba kuelimishwa kuhusu suala la Pete za Uchumba

kyanyangwe

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
1,275
Reaction score
3,316
Wakuu, habari za wakati huu?

Naomba kupewa dondoo kuhusu suala la pete ya uchumba.

1. Pete ya uchumba ni lazima mvalishane hata kama tayari mnaishi wote?
2. Pete ya uchumba lazima umvalishe mwenzio mbele za watu au unaweza ukamfanyia tu suprise mkiwa wawili hata chumbani ukamvalisha?
3. Pete ya uchumba lazima iwe ya gharama maana kuna jamaa yangu kaniambia niandae one million?
4. Ni lazima kupiga magoti wakati wa kumvalisha mchumba ako pete?

Asanteni
 
Hivi bado munavalishana pete za uchumba siku hizi ,mi naona kama hazina maana yoyote kwa mapenzi ya sasa,, maana naweza mvalisha pete mchumba wangu na nikamuuamini lakini akaenda kuvulishwa na wajuba..

Hapo ndo utajua kwanini shuka halina mfuko.
 
Pete ya 50k si ipo tafuta hyo kwa sonara acha kulia lia
 
Pete mzigo tu na miosho isizo na maana.
 
1.Unaweza mvisha pete mkiwa wawili chumbani kisha mkarudia lile tukio mbele ya ndugu jamaa na marafiki kwenye hafla ndogo.
Pia unaweza amua mfanyia party ya suprise. Yaani ukaandaa birthday party ya suprise asijue halafu siku hiyo hiyo ukamsweka Pete bila yeye kujua kuwa uliplan hivyo.

2. Pete sio lazima iwe ya gharama sana, hiyo milioni ni uharibifu wa hela. Tafuta sonara (wapo wengi sana) nenda kachague design nzuri (mwanamke huwa anashirikishwa kwenye pete ya ndoa tu). Pete zipo hadi za 30,000 ni wewe tu na material unataka.

Wengi huweka jiwe la thamani kwa juu kama tanzanite au almasi kwa juu. Hii ndio huongeza bei ya pete. Kama unampenda utampatia kitu cha thamani ambacho atakitunza kumbuka pete ya uchumba na ndoa havipotwezwi vinatunzwa.
 
Wakuu, habari za wakati huu?

Naomba kupewa dondoo kuhusu suala la pete ya uchumba.

1. Pete ya uchumba ni lazima mvalishane hata kama tayari mnaishi wote?
2. Pete ya uchumba lazima umvalishe mwenzio mbele za watu au unaweza ukamfanyia tu suprise mkiwa wawili hata chumbani ukamvalisha?
3. Pete ya uchumba lazima iwe ya gharama maana kuna jamaa yangu kaniambia niandae one million?
4. Ni lazima kupiga magoti wakati wa kumvalisha mchumba ako pete?

Asanteni
Kupiga goti ni tendo la ishara sio fasheni au lazima.

Miaka ya falme za uingereza kabla gari haijagunduliwa wanaume (prince charm) walikuwa wanawaomba mabinti wanaowatongoza tena mabinti bikra kwa kuwapigia goti ili kuomba ridhaa na heshima ya kuwa wanaume wao.

Hapo ndipo utamaduni wa kwenda down on one bended knee ulipoanzia. Sasa miaka hii tumerithi tu ila kumpigia goti mwanamke ambaye hana bikra ni kujidhalilisha kwa mtoto wa kiume. Unaomba mtu aliyelala na wanaume tofuti akupe ridhaa na wewe utembee nae na wakati wenzako walinunulia chips kuku tu wakala mzigo.

Na ndio maana kwa afrika wanawake hupiga goti kushukuru kwa kupata fadhira ya kusitiriwa na mwanaume aliyemchagua.

Ila kama mwanamke ni bikra piga goti bila ubishi...... Sio ombi ni lazima, she's a princess, raised by a king and queen for you... So bow to your future queen.

Mwanamke mwenye bikra huwa ni alama ya utukufu wa MUNGU duniani...... Sasa wewe ni nani hadi usimpigie goti mwali aliyehifadhi tupu yake hadi kukutana na wewe.
 
Kitu kingine inakuaje mwanamke akivalishwa pete anaanza kulia wakat unakuta amejipanga tayar kwa tukio
Unafiki tu kuiga ulaya. Wenzao huwa wanalia sababu kwanza ni suprise halafu pia ni tendo la kushitukizwa.....
 
Kupiga goti ni tendo la ishara sio fasheni au lazima.

Miaka ya falme za uingereza kabla gari haijagunduliwa wanaume (prince charm) walikuwa wanawaomba mabinti wanaowatongoza tena mabinti bikra kwa kuwapigia goti ili kuomba ridhaa na heshima ya kuwa wanaume wao.

Hapo ndipo utamaduni wa kwenda down on one bended knee ulipoanzia. Sasa miaka hii tumerithi tu ila kumpigia goti mwanamke ambaye hana bikra ni kujidhalilisha kwa mtoto wa kiume. Unaomba mtu aliyelala na wanaume tofuti akupe ridhaa na wewe utembee nae na wakati wenzako walinunulia chips kuku tu wakala mzigo.

Na ndio maana kwa afrika wanawake hupiga goti kushukuru kwa kupata fadhira ya kusitiriwa na mwanaume aliyemchagua.

Ila kama mwanamke ni bikra piga goti bila ubishi...... Sio ombi ni lazima, she's a princess, raised by a king and queen for you... So bow to your future queen.

Mwanamke mwenye bikra huwa ni alama ya utukufu wa MUNGU duniani...... Sasa wewe ni nani hadi usimpigie goti mwali aliyehifadhi tupu yake hadi kukutana na wewe.
Je kama bikra umemtoa mwenyewe
 
aiseee bablai fanya hayo yote lakini sio kupiga magoti,,,
narudia usipige magoti .....hayo mambo wengine uwaachie wazungu tu....
 
Mambo mengine hayana ulazima kabsa kama ayo..
 
Asili ya kuvishana Pete ni wapi? na ina maanisha nini? Haya mambo yalikuwepo toka zamani katika tamaduni zetu? au ndio tunaiga tu jambo kisa kuna jamii fulani hufanya hivyo? Je kwenye dini zetu hasa Uislamu na Ukristo vimezungumzia hili jambo la kuvalishana hizi Pete?
 
Wakuu, habari za wakati huu?

Naomba kupewa dondoo kuhusu suala la pete ya uchumba.

1. Pete ya uchumba ni lazima mvalishane hata kama tayari mnaishi wote?
2. Pete ya uchumba lazima umvalishe mwenzio mbele za watu au unaweza ukamfanyia tu suprise mkiwa wawili hata chumbani ukamvalisha?
3. Pete ya uchumba lazima iwe ya gharama maana kuna jamaa yangu kaniambia niandae one million?
4. Ni lazima kupiga magoti wakati wa kumvalisha mchumba ako pete?

Asanteni

1. Sio lazima
2. Sio lazima
3. Sio lazima
4. Sio lazima.
 
Pete kwangu mie haina nguvu sana,kikubwa mchumba ama mke mtarajiwa kujiwekea heshima yake mwenyewe pasipo kuvaa pete
 
Back
Top Bottom