Kichwa Ndio Mtu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 3,079
- 1,711
Je ukikamatwa na kizibiti/ushahidi mfano unauza bangi,ukakutwa na gunia 5 au unauza gongo,ukakamatwa na dumu 20 za lita 20.
1. Je ukifikishwa mahakamani kizibiti chako chote kinaletwa mahakamani kama ushahidi,yaani dumu zako 20 zote zinaletwa mahakamani?
2. Kama hazikuletwa zote ikaletwa labda 2,je una haki ya kutaka madumu yako yote yaletwe?
Naomba wataalam wa sheria mnielishe.
1. Je ukifikishwa mahakamani kizibiti chako chote kinaletwa mahakamani kama ushahidi,yaani dumu zako 20 zote zinaletwa mahakamani?
2. Kama hazikuletwa zote ikaletwa labda 2,je una haki ya kutaka madumu yako yote yaletwe?
Naomba wataalam wa sheria mnielishe.