Naomba kuelimishwa namna ya kutengana au kutalikiana kisheria

Naomba kuelimishwa namna ya kutengana au kutalikiana kisheria

KIKOSIKAZI

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2014
Posts
2,219
Reaction score
1,146
Ndugu wanasheria na wana JF, habari za wakati huu.

Naomba msaada wa kisheria toka kwenu, Mimi ni mwanaume na nilifunga ndoa ya kikristo miaka kumi (10) iliyopita,tuna watoto wawili. Safari ya ndoa yetu ilikuwa na mapito/magumu mengi.Mpaka muda huu naandika walaka huu, mwanamke aliondoka nyumbani yapata miezi sita sasa. Maamuzi yangu ni kutengana/kutalikiana kisheria kwa kutumia mahakama. Nimepitia sheria ya ndoa na talaka, lakini sijapata ufumbuzi

Naomba ufumbuzi wa maswali yuafuatayo:
1.Je ni lazima nisubiri miaka miwili ya kuto kuwepo kwake ndio niende baraza la usuluhishi la kanisa au ustawi wa jamii?
2.Je ni nini nifanye kwa sasa, ili kuwepo na ushahidi (evidence) wa kutokuwepo kwake? ambayo nitakuja kutumia kama ushahidi huko mbeleni
3. Kifungu cha sheria ya ndoa na Talaka, 8.1.1 kina sema "Kutengana kupo kwa aina mbili;i. Kwa hiari ya wanandoa wenyewe. na ii. Kwa amri ya mahakama. Je hii aina ya kwanza inafanyikaje?

Babuyao,KIBONGOMKUTI,MKALIKENYA, na wengine wengi naombeni msaada wenu
 
Kutengana na mke ni kama kutoa ruhusa ya kugongewa. Miezi sita yote unabung'aa tu mwanamke anapuyanga ...ukiitwa zoba utabisha? Piga chini kamata mwenzie
 
Kutengana na mke ni kama kutoa ruhusa ya kugongewa. Miezi sita yote unabung'aa tu mwanamke anapuyanga ...ukiitwa zoba utabisha? Piga chini kamata mwenzie
Kama anatengana nae in the process ya kuachana, why aumie mwanamke akigongwa? Ila kama wanatengana ila baadae watarudiana basi huo ni zaidi ya uzoba
 
Ndugu wanasheria na wana JF, habari za wakati huu.

Naomba msaada wa kisheria toka kwenu, Mimi ni mwanaume na nilifunga ndoa ya kikristo miaka kumi (10) iliyopita,tuna watoto wawili. Safari ya ndoa yetu ilikuwa na mapito/magumu mengi.Mpaka muda huu naandika walaka huu, mwanamke aliondoka nyumbani yapata miezi sita sasa. Maamuzi yangu ni kutengana/kutalikiana kisheria kwa kutumia mahakama. Nimepitia sheria ya ndoa na talaka, lakini sijapata ufumbuzi

Naomba ufumbuzi wa maswali yuafuatayo:
1.Je ni lazima nisubiri miaka miwili ya kuto kuwepo kwake ndio niende baraza la usuluhishi la kanisa au ustawi wa jamii?
2.Je ni nini nifanye kwa sasa, ili kuwepo na ushahidi (evidence) wa kutokuwepo kwake? ambayo nitakuja kutumia kama ushahidi huko mbeleni
3. Kifungu cha sheria ya ndoa na Talaka, 8.1.1 kina sema "Kutengana kupo kwa aina mbili;i. Kwa hiari ya wanandoa wenyewe. na ii. Kwa amri ya mahakama. Je hii aina ya kwanza inafanyikaje?

Babuyao,KIBONGOMKUTI,MKALIKENYA, na wengine wengi naombeni msaada wenu
Nenda kwao na wazazi katoe taarifa ataitwa then minutes za kikao zitaandikwa na kusainiwa hivyo kutengeneza ushahidi.
Pia unawez kwenda kanisani kutoa taarifa na ataitwa. Iwapo ikishindikana basi huwa certificate of failure to reconcile inatolewa na hapo unaitumia hapo mahakamani

Pia kama wote mnataka kuachana, mahakama haina mamlaka ya kuwalazimisha.

Talaka mahakama inawez kutoa

Ila hayo unayoyasema kuhusu sheria ulioitaja haipo katika sheria za ndoa na sheria ya ndoa inaitwa the law of marriage act cap 29 of 1971 revised edition 2002 na si sheria za ndoa na talaka haipo Tanzania
 
Nenda kwao na wazazi katoe taarifa ataitwa then minutes za kikao zitaandikwa na kusainiwa hivyo kutengeneza ushahidi.
Pia unawez kwenda kanisani kutoa taarifa na ataitwa. Iwapo ikishindikana basi huwa certificate of failure to reconcile inatolewa na hapo unaitumia hapo mahakamani

Pia kama wote mnataka kuachana, mahakama haina mamlaka ya kuwalazimisha.

Talaka mahakama inawez kutoa

Ila hayo unayoyasema kuhusu sheria ulioitaja haipo katika sheria za ndoa na sheria ya ndoa inaitwa the law of marriage act cap 29 of 1971 revised edition 2002 na si sheria za ndoa na talaka haipo Tanzania
Fred1149
Nakushukuru sana sana hasa ushauri wa kanisani ndio bora zaidi. Asante
 
Back
Top Bottom