Naomba kuelimishwa, uhusiano baina ya JKT na JWTZ

Naomba kuelimishwa, uhusiano baina ya JKT na JWTZ

Chifyono

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2017
Posts
921
Reaction score
1,659
Nimekuwa nikiyasikia majeshi haya hapa nchini kwa muda mrefu sasa pasipo kujua uhusiano wa moja kwa moja uliopo kati ya Jeshi la kujenga taifa (JKT) na Jeshi la wananchi (JWTZ)

Kimuonekano ni wazi JKT husimamiwa na JWTZ kwani naona wanaotoa mafunzo ni JWTZ

Je, hivi vyombo huwa na uhusiano gani?
Pia tofautu zao ni zipi?

Kiongozi wa JWTZ, Jenerali Mabeyo anasimamia pia JKT au?

Naomba wajuvi mnijuze
 
20180711_001815.png


Kama unvyoona kwenye hiyo picha kutoka website ya TPDF wana kamandi ya makao makuu (MMJ), kamandi ya nchi kavu, kamandi ya anga na JKT.

Hivyo kijeshi JKT ni kama kamandi ya JWTZ, na askari na maofisa ni walewale, unapangiwa tu kikosi baada ya kumaliza mafunzo inaweza kuwa yoyote kati ya hizo kamandi

Kwenye sheria ya JKT sijui inasemaje sijawahi isoma.
 
Mi nadhani JKT ni part ya JWTZ
kama ilivyo field force ni part ya POLICE
 
View attachment 806868
kama unvyoona kwenye hiyo picha kutoka website ya TPDF wana kamandi ya makao makuu (MMJ), kamandi ya nchi kavu, kamandi ya anga na JKT.
hivyo kijeshi JKT ni kama kamandi ya JWTZ, na askari na maofisa ni walewale, unapangiwa tu kikosi baada ya kumaliza mafunzo inaweza kuwa yoyote kati ya hizo kamndi
Kwenye sheria ya JKT sijui inasemaje sijawahi isoma
Asante mkuu kwa elimu hii
 
Mi nadhani JKT ni part ya JWTZ
kama ilivyo field force ni part ya POLICE
Mkuu wa Field force huteuliwa Na IGP lakin Mkuu wa JKT hateuliwi Na Mkuu wa majeshi huteuliwa Na Rais Pia

Mf. wa JKT Na JWTZ Ni mfano wa CCM Na Uv CCM kwamba huwezi Kuwa Uv CCM bila ya Kuwa CCM Ila unaweza Kuwa CCM bila ya Kuwa uv CCM

Au Tanzania Na Znz

JKT Ni mbavu ya JWTZ
 
nimekuwa nikiyasikia majeshi haya hapa nchini kwa muda mrefu sasa pasipo kujua uhusiano wa moja kwa moja uliopo kati ya jeshi la kujenga taifa (jkt) na jeshi la wananchi (jwtz)

kimuonekano ni wazi jkt husimamiwa na jwtz kwani naona wanaotoa mafunzo ni jwtz

je hivi vyombo huwa na uhusiano gani
pia tofautu zao ni zipi?

kiongozi wa Jwtz (mabeyo) anasimamia pia jkt au

naomba wajuvi mnijuze
JWTZ ndiyo walioanzisha mafunzo ya JKT na ndiyo wanaofundisha mpaka leo.(Directly and indirectly).
JKT imegawanyika katika makundi mawili. 1. Viongozi, walimu na wakufunzi, 2. Wanafunzi (servicemen).
Viongozi wote wa JKT lazima wapitie mafunzo ya depo za kawaida za JWTZ.

JKT (servicemen) hawapewi mafunzo ya kijeshi kwa undani. Na kwakiasi JKT hupewa mafunzo ya kijeshi kwa karibu 35% huku zilizobakia ni ujasiriamali na uzalendo!

Vyeo vinafanana. Ukiacha wale servicemen wale viongozi wao ni wanajeshi halisi na vita ikitokea wanakwenda kupambana kama wanajeshi wengine.

Kwakifupi JKT haihitaji silaha nzito zaidi ya bunduki za kulinda, mali zao ambazo ni karakana, mifugo, ofisi, bustani na maghala yao ya bunduki.

Na kimsingi WANAJESHI walioajiriwa JKT wote ni JWTZ, ile ni kama Kamandi kuu ihusuyo na malezi ya vijana na Uzalishaji mali. Kamandi zingine ni Landforce, Airforce na Navy nk nk. Hivyo basi elewa kuwa JKT na JWTZ ni kitu kile kile,ila JWTZ ndiyo mkuu wa yote.
 
JWTZ ndiyo walioanzisha mafunzo ya JKT na ndiyo wanaofundisha mpaka leo.(Directly and indirectly).
JKT imegawanyika katika makundi mawili. 1. Viongozi, walimu na wakufunzi, 2. Wanafunzi (servicemen).
Viongozi wote wa JKT lazima wapitie mafunzo ya depo za kawaida za JWTZ.
JKT (servicemen) hawapewi mafunzo ya kijeshi kwa undani. Na kwakiasi JKT hupewa mafunzo ya kijeshi kwa karibu 35% huku zilizobakia ni ujasiriamali na uzalendo!
Vyeo vinafanana. Ukiacha wale servicemen wale viongozi wao ni wanajeshi halisi na vita ikitokea wanakwenda kupambana kama wanajeshi wengine.
Kwakifupi JKT haihitaji silaha nzito zaidi ya bunduki za kulinda, mali zao ambazo ni karakana, mifugo, ofisi, bustani na maghala yao ya bunduki.
Na kimsingi WANAJESHI walioajiriwa JKT wote ni JWTZ, ile ni kama Kamandi kuu ihusuyo na malezi ya vijana na Uzalishaji mali. Kamandi zingine ni Landforce, Airforce na Navy nk nk. Hivyo basi elewa kuwa JKT na JWTZ ni kitu kile kile,ila JWTZ ndiyo mkuu wa yote.
Nadhani Ameelewa maana umeeleza vizuri
 
Nje ya mada

Kuna hawa walinzi wa Suma JKT nao hujiona wanajeshi. Hawayaki kulipa hata nauli
Suma JKT guards, wale wote ni mchanganyiko wa JKT na mgambo. Hivyo ni sahihi tu wasilipe nauli. Hata ukiangalia ballet zao suma JKT guards zina mwenge wa uhuru.
 
JWTZ ndiyo walioanzisha mafunzo ya JKT na ndiyo wanaofundisha mpaka leo.(Directly and indirectly).
JKT imegawanyika katika makundi mawili. 1. Viongozi, walimu na wakufunzi, 2. Wanafunzi (servicemen).
Viongozi wote wa JKT lazima wapitie mafunzo ya depo za kawaida za JWTZ.
JKT (servicemen) hawapewi mafunzo ya kijeshi kwa undani. Na kwakiasi JKT hupewa mafunzo ya kijeshi kwa karibu 35% huku zilizobakia ni ujasiriamali na uzalendo!
Vyeo vinafanana. Ukiacha wale servicemen wale viongozi wao ni wanajeshi halisi na vita ikitokea wanakwenda kupambana kama wanajeshi wengine.
Kwakifupi JKT haihitaji silaha nzito zaidi ya bunduki za kulinda, mali zao ambazo ni karakana, mifugo, ofisi, bustani na maghala yao ya bunduki.
Na kimsingi WANAJESHI walioajiriwa JKT wote ni JWTZ, ile ni kama Kamandi kuu ihusuyo na malezi ya vijana na Uzalishaji mali. Kamandi zingine ni Landforce, Airforce na Navy nk nk. Hivyo basi elewa kuwa JKT na JWTZ ni kitu kile kile,ila JWTZ ndiyo mkuu wa yote.
Sawa kamanda
 
Back
Top Bottom