#COVID19 Naomba Kuelimishwa zaidi kuhusu Corona

#COVID19 Naomba Kuelimishwa zaidi kuhusu Corona

ikigijo

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2017
Posts
1,839
Reaction score
1,902
Wadau na Wakuu heshima yenu,
Naomba Kuuliza maswali ya Mtu nisielewa Kuhusu Afya na Kirusi,
Naomba Msinicheke...
Nahitaji Elimu wandugu.

Naomba Kuuliza kwa wataalam:
Hivi Kama Mtu hajachanjwa Mpaka sasa,
1. Je akiugua Corona sasa hivi atakuwa ameugua corona ipi? Ile ya Kwanza, Ya Pili ya Tatu au hii Omicroni?

2. Je ina Maana Zile Corona na Mwanzo Hazipo? Kama Zipo Zina Nguvu ya Kuwashambulia watu wasiochanjwa?
Kama Hazina Nguvu sasa Wasiochanjwa wamepata Kinga ya Mwili?

3.Hii Omicron na Yenyewe Kuna watu wamepata Mafua na Homa za Hapa na Pale na Wanaendelea Ku recover na Hawajachanjwa sasa Baadae Wakihitajika Kuchanjwa? Wanachanjwa kwa ajili ya wimbi lipi?
Kuanzia La Kwanza? Au hili la Sasa hivi?
Naomba Majibu wataalam
 
Wadau na Wakuu heshima yenu,
Naomba Kuuliza maswali ya Mtu nisielewa Kuhusu Afya na Kirusi,
Naomba Msinicheke...
Nahitaji Elimu wandugu.

Naomba Kuuliza kwa wataalam:
Hivi Kama Mtu hajachanjwa Mpaka sasa hivi,
1.Je akiugua Corona sasa hivi atakuwa ameugua corona ipi? Ile ya Kwanza,Ya Pili ya Tatu au hii Omicroni?
2.Je Ina Maana Zile Corona na Mwanzo Hazipo?Kama Zipo Zina Nguvu ya Kuwashambulia watu wasiochanjwa?
Kama Hazina Nguvu sasa Wasiochanjwa wamepata Kinga ya Mwili?
3.Hii Omicron na Yenyewe Kuna watu wamepata Mafua na Homa za Hapa na Pale na Wanaendelea Ku recover na Hawajachanjwa sasa Baadae Wakihitajika Kuchanjwa wanachanjwa kwa ajili ya wimbi lipi?
Kuanzia La Kwanza?Au hili la Sasa hivi?
Naomba Majibu wataalam
Corona Ni ugonjwa mpya hata mabeberu unawasumbua, kusubiri majibu ya madaktari waliosoma Ach Bishop James, utalia
 
Sina hamu na huu ugonjwa. Vile umenifanya tangu tarehe 15.12.2021 mpaka naandika muda huu ni Mungu tu.

Najitahidi kujifukiza kila saa, kesho naanza kufanya mazoezi ya kukimbia.

Ila sichanji hata nife
 
Sina hamu na huu ugonjwa. Vile umenifanya tangu tarehe 15.12.2021 mpaka naandika muda huu ni Mungu tu.

Najitahidi kujifukiza kila saa,kesho naanza kufanya mazoezi ya kukimbia.

Ila sichanji hata nife

Sasa Kama Huchanji Je? wakisema ili Upate huduma Lazima Uwe Umechanjwa?
Au mfano wakasema Watumishi wa Ummma lazima wachanje?[emoji3516][emoji12][emoji3]
 
Back
Top Bottom