Naomba kufaham hii namba ni ya taasisi gani hapa Tanzania?

duh, isijekuwa ya kuzimu. manake mitandao hiyo yote na makampuni makubwa wana connection ya freemason. najua wengi watabisha.
 
Sasa we mtu humjui unamjibu uko Dar es salaam. Sasa unatuuliza sisi tena jamani. Kwanini una entertain mawasiliano na mtu usiyemjua
Nimeuliza ili kufaham tu tu inawezekana kuna mtu anajua kuuliza sio ujinga ndugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…