Ismoo
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 1,101
- 1,573
Wakubwaa..!
Samahani kwa yeyote anae fahamu bei ya Ndizi Tukuyu/Kiwira na utaratibu unaotakiwa kufuatwa ukitaka kununua.
Pia namna ya kusafirisha mpaka Dar es salaam nauli zinakuwaje, kodi pia anae fahamu kwa kina please naomba msaada.
Natanguliza shukrani. [emoji120]
Samahani kwa yeyote anae fahamu bei ya Ndizi Tukuyu/Kiwira na utaratibu unaotakiwa kufuatwa ukitaka kununua.
Pia namna ya kusafirisha mpaka Dar es salaam nauli zinakuwaje, kodi pia anae fahamu kwa kina please naomba msaada.
Natanguliza shukrani. [emoji120]