Ismoo JF-Expert Member Joined Apr 18, 2018 Posts 1,101 Reaction score 1,573 Jun 3, 2022 #1 Wakubwaa..! Samahani kwa yeyote anae fahamu bei ya Ndizi Tukuyu/Kiwira na utaratibu unaotakiwa kufuatwa ukitaka kununua. Pia namna ya kusafirisha mpaka Dar es salaam nauli zinakuwaje, kodi pia anae fahamu kwa kina please naomba msaada. Natanguliza shukrani. [emoji120]
Wakubwaa..! Samahani kwa yeyote anae fahamu bei ya Ndizi Tukuyu/Kiwira na utaratibu unaotakiwa kufuatwa ukitaka kununua. Pia namna ya kusafirisha mpaka Dar es salaam nauli zinakuwaje, kodi pia anae fahamu kwa kina please naomba msaada. Natanguliza shukrani. [emoji120]
mjumbe wa bwana JF-Expert Member Joined Sep 19, 2016 Posts 5,252 Reaction score 6,118 Jun 3, 2022 #2 Ngoja tuwasubirie ila kuna mwamba yupo Kilimanjaro pale mto kikavu analima Sana ndizi nikipitaga natamani Sana kwenda kuoata elimu sema ndo hivyo nakosaga nafasi hio
Ngoja tuwasubirie ila kuna mwamba yupo Kilimanjaro pale mto kikavu analima Sana ndizi nikipitaga natamani Sana kwenda kuoata elimu sema ndo hivyo nakosaga nafasi hio
Mashamba Makubwa Nalima JF-Expert Member Joined Mar 19, 2024 Posts 4,978 Reaction score 2,411 Nov 24, 2024 #3 Ulifanikiwa mkuu?
Mwalimu wa tuisheni JF-Expert Member Joined Oct 19, 2019 Posts 6,602 Reaction score 10,801 Nov 24, 2024 #4 Kiwira wamekua wajanja sana siku hizi, madalali wa dar wamefika mpaka ushirika hadi lutengano huko ndani ndani
Kiwira wamekua wajanja sana siku hizi, madalali wa dar wamefika mpaka ushirika hadi lutengano huko ndani ndani
Mashamba Makubwa Nalima JF-Expert Member Joined Mar 19, 2024 Posts 4,978 Reaction score 2,411 Nov 24, 2024 #5 Mwalimu wa tuisheni said: Kiwira wamekua wajanja sana siku hizi, madalali wa dar wamefika mpaka ushirika hadi lutengano huko ndani ndani Click to expand... Zimepanda sana, sio?
Mwalimu wa tuisheni said: Kiwira wamekua wajanja sana siku hizi, madalali wa dar wamefika mpaka ushirika hadi lutengano huko ndani ndani Click to expand... Zimepanda sana, sio?
Mwalimu wa tuisheni JF-Expert Member Joined Oct 19, 2019 Posts 6,602 Reaction score 10,801 Nov 24, 2024 #6 Mashamba Makubwa Nalima said: Zimepanda sana, sio? Click to expand... The higher the demand........ ?
Mashamba Makubwa Nalima said: Zimepanda sana, sio? Click to expand... The higher the demand........ ?
Ismoo JF-Expert Member Joined Apr 18, 2018 Posts 1,101 Reaction score 1,573 Nov 25, 2024 Thread starter #7 Mashamba Makubwa Nalima said: Ulifanikiwa mkuu? Click to expand... Sikwenda mkuu. Niliamua kufanya mitikasi mingine.
Mashamba Makubwa Nalima said: Ulifanikiwa mkuu? Click to expand... Sikwenda mkuu. Niliamua kufanya mitikasi mingine.
Mashamba Makubwa Nalima JF-Expert Member Joined Mar 19, 2024 Posts 4,978 Reaction score 2,411 Nov 25, 2024 #8 Ismoo said: Sikwenda mkuu. Niliamua kufanya mitikasi mingine. Click to expand... Poa poa