mwambyetete
Senior Member
- May 17, 2018
- 132
- 202
Habari wapendwa, naomba msaada wa kupata fundi mzuri au ushauri juu ya tatizo linalonikabili kwenye gari.
Natumia gari aina ya toyota premio engine 1NZ,gari yangu ina tatizo la kugonga hasa ninapofunga breki yaani ninapokaribia kusimama kabisa au ninapoiondoa iwapo ilisimama kabisa!! Mlio ninaousikia huwa kama kakakakakaka naomba mnielewe hivo.
Nilipeleka kwa mafundi hawa wa mtaani wakadai plate za kwenye shockup zinazokaa juu ya coil zimelika na kufa hivo nibadilishe, tatizo halijapona.
Jana nikaambiwa top mount za kwenye shockup na balljoint zimekufa zimenunua zingine bado tatizo liko pale pale!! Tena nikaambiwa breakpad au steringleak imekufa sasa napata wakati mgumu kununua vitu hivo kwan n kama napiga ramli sasa.
Umri wa gari ni ya mwaka 2005 na had sasa imetembea km 80,000. Naomba mnisaidie au ushaur au wap ntapata fundi mzur wa kunitatulia tatizo hilo ambapo gari ni premio new model ya 2005 package F ya cc 1496.
Kimakazi niko mkoani Mbeya wilaya ya mbeya mjini!
Heri ya pasaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Natumia gari aina ya toyota premio engine 1NZ,gari yangu ina tatizo la kugonga hasa ninapofunga breki yaani ninapokaribia kusimama kabisa au ninapoiondoa iwapo ilisimama kabisa!! Mlio ninaousikia huwa kama kakakakakaka naomba mnielewe hivo.
Nilipeleka kwa mafundi hawa wa mtaani wakadai plate za kwenye shockup zinazokaa juu ya coil zimelika na kufa hivo nibadilishe, tatizo halijapona.
Jana nikaambiwa top mount za kwenye shockup na balljoint zimekufa zimenunua zingine bado tatizo liko pale pale!! Tena nikaambiwa breakpad au steringleak imekufa sasa napata wakati mgumu kununua vitu hivo kwan n kama napiga ramli sasa.
Umri wa gari ni ya mwaka 2005 na had sasa imetembea km 80,000. Naomba mnisaidie au ushaur au wap ntapata fundi mzur wa kunitatulia tatizo hilo ambapo gari ni premio new model ya 2005 package F ya cc 1496.
Kimakazi niko mkoani Mbeya wilaya ya mbeya mjini!
Heri ya pasaka
Sent using Jamii Forums mobile app