Wadau heshima zenu, natumaini mu wazima wa afya na poleni na majukumu ya kulijenga taifa..
Naombeni kufahamishwa gereji nzuri iliyopo mwanza ambayo naweza kwenda kupaka rangi kipasso changu....
Kwasasa nipo shinyanga, bodaboda akapitia kipasso changu milango yote miwili ikakwaruzika..
Nikabugi kupaka rangi hapa hapa shinyanga.... Daaaah gari imetokea kachumbari kabisaaaa... jamaa wameniharibia kabisa yaan bora nisingepaka iyo rangi...
NAAMINI LABDA MWANZA KUTAKUWA NA GEREJI KUBWA NA YA KISASA AMBAO NI MAPROFESSIONAL AMBAO WANAWEZA WAKANIPAKIA RANGI KIPASSO CHANGU KING'AE... WADAU WA MWANZA NAOMBENI MSAADA TAFADHALI....